Askari Amuua Raia kwa Risasi kwa Sababu ya Mlegezo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Askari Amuua Raia kwa Risasi kwa Sababu ya Mlegezo
Kutoka Houston, Texas, nchini Marekani, inaripotiwa kuwa askari mmoja amempiga risasi mwanaume mmoja asiye na silaha hadi kufariki ambaye alikuwa anatembea barabarani huku suruali yake ikiwa miguuni.

Kamera iliyonasa tukio hilo imemuonesha kijana huyo Danny Ray Thomas mwenye miaka 34, akitembea na polisi huyo kuanza kupiga kelele akimwambia lala chini na kisha akafyatua risasi na kumpiga.

Inaelezwa kuwa askari na mhanga huyo wa ‘ukatili wa polisi’ wote ni weusi wa Asili ya Afrika.

Familia ya marehemu, imeeleza kuwa ndugu yao alikuwa akitembea na suruali ikiwa miguuni kwasababu alikuwa anapitia msongo wa mawazo ‘depression‘ baada ya watoto wake kufariki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad