AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yalisemwa na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Iscot inayojihusisha na masuala ya ushauri wa mambo mbalimbali, Patrobas Mazara kwenye kongamano la kuwajengea uwezo wa matumizi ya fedha wafanyabiashara wanawake lililoandaliwa na Tanzania Women Chamber of Commerce. “Usipokuwa na utawala sahihi wa fedha yako unayoipata kama malipo ya shughuli unayofanya, utaishia kulalamika kila siku fedha haitoshi,” alisema Mazara.
Mmoja wa washiriki, Irene Kasubi alisema licha ya jitihada kubwa alizokuwa akizitumia kuhakikisha anafanikiwa alishindwa kufikka malengo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK