AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bw. Sweda amefanya maamuzi hayo kufuatia watumishi hao kujiunga kwenye chama hicho bila kuwa na sifa pamoja na kushindwa kurejesha fedha walizokopa tangu mwaka 2014 na kuagiza Jeshi la Polisi wilayani Misungwi mkoani humo kuwakamata.
Mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa ili kukinusuru chama hicho ameivunja bodi hiyo ili kuweza kupata viongozi watakaokuwa na sifa lakini pia na wanachama wenye sifa ya kuwa vijana.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK