Breaking News: Wabunge, Madiwani Chadema Waandamana Kwenda Ofisi za Umoja wa Ulaya Kushinikiza Dhamana kwa Vigogo wa Chama Hicho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wabunge, Madiwani Chadema Watia Kambi Ubalozi wa Ulaya Kushinikiza Dhamana kwa Vigogo wa Chama Hicho
Wabunge wa Chadema, leo mchana Machi 29, 2018 wameandamana kwenda ofisi za Umoja wa Ulaya (EU).

Wabunge hao wamekwenda katika ofisi hizo kulalamikia kile wanachofanyiwa viongozi sita wa chama hicho akiwamo mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe waliopo mahabusu.

Akizungumza na MCL Digital mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema, “Tuko EU (Umoja wa Ulaya). Tupo wabunge wote tumeandamana kuja hapa kuleta kilio chetu.”

Lowassa arejea, Mbowe na vigogo Chadema hawajafikishwa mahakamani

Baadhi ya wabunge hao ni, Peter Liajualikali (Kilombero), David Silinde (Momba), Jesca Kishoa (viti maalumu) na Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad