Christian Bella Afunguka Kuhusu Muziki wa Hip Hop

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Christian Bella Afunguka Kuhusu Muziki wa Hip Hop
Muimbaji Christiana Bella amefunguka kuhusu mipango yake ya kuanza kufanya muziki wa rap/hip hop.

Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Lamba Lamba’ ameiambia Planet Bongo ya EA Radio hadi sasa tayari kuna ngoma ameandikiwa na Nikki wa Pili, hivyo muda wowote atasikika akirap.

“Walijua mimi Bella naimba muziki wa Bolingo tu, no!, nani ngoma tayari nimeandikiwa na Nikki wa Pili ambayo nitachana
mimi napenda kufanya vitu ambavyo sijafanya ambacho watu hawajajua kama Bela anaweza kufanya hicho kitu,” amesema.

“Napenda sana hip hop hata kama Naimba, napenda sana kusikiliza watu anaochana si Weusi tu nawasikiliza,” ameongeza.

Christiana Bella amekuwa akishirikishwa na wasanii kadhaa ambao wanafanya vizuri katika muziki wa hip hop Bongo, miongoni mwao ni Weusi na Fid Q, pia ameweza kuwashirikisha Joh Makini na Khaligraph Jones kutoka nchini Kenya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad