Dj Fetty Kurudi Kwenye Fani Yake ya Utangazaji?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dj Fetty Kurudi Kwenye Fani Yake ya Utangazaji
September 15 2015 mtangazaji wa zamani wa kituo cha radio cha Clouds FM DJ Fetty alitangaza kuacha kazi ya utangazaji na kuwaaga wafanyakazi wenzake akisema ameamua kupumzika na kuwa atakuwa akifanya biashara zake nyingine.

DJ Fetty alikaa kimya kwa muda mrefu lakini kwa kuwa ni mwanafamilia wa Clouds FM March 8 2017 katika siku ya wanawake duniani alirudi tena XXL na kutangaza katika kipindi maalum kwa ajili ya wanawake duniani na kutangaza tena kwenye XXL.



Kwa mujibu wa post zake mbili za instagram alizozipost usiku wa jana, ya kwanza aliandika “Tizi limeanza. U want me back? weka 👍🏻 zikifika 1000 Mama la mama hewani” lakini baada ya comment 1000 za ndio za kutaka arudi akapost post ni nyingine na kuandika “Pheewwwww 🤐🤐 “1000👍🏻” 🙏🏻🙏🏻 shidddaaaaaah. Now stay tuned for official statement. I love u all” hayo ni maamuzi mazuri kwa Fetty na mashabiki wake.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad