AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Trump ametajwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 3.1 huku akishika nafasi ya 766 ambayo inashikiliwa na watu wengine takribani 25.
Utajiri wa Rais huyo wa Marekani umetajwa kushuka kwa dola milioni 400 ambapo kwa mwaka jana alitangazwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 3.5.
Katika orodha hiyo mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos anashika nafasi ya kwanza akiwa na utajiri wa dola bilioni 112 akimbwaga Bill Gates anayeshika nafasi ya pili akiwa na utajiri wa dola bilioni 90.
Wakati huo huo mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg anashika nafasi ya tano akiwa na utajiri wa dola bilioni 71. Aliko Dangote kutoka Afrika anashika nafasi ya 100 akiwa na utajiri wa dola bilioni 14.1.
Naye Mohammed Dewj wa Tanzania anashika nafasi ya 1561 akiwa na utajiri wa doala bilioni 1.5.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK