AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaelezwa kuwa Grace amehusika katika biashara ya Pembe za Ndovu yenye thamani ya mamilioni ya dola za Kimarekani.
Anatuhumiwa kufanya biashara hiyo kipindi akiwa bado ‘First Lady’ wa nchi hiyo na kwamba alituma vipande vya nyara hizo kama zawadi kwa watu fulani wa hadhi ya juu huko Mashariki ya Kati na Asia.
Uchunguzi na taarifa hiyo imetolewa na Mamlaka ya Hifadhi za Wanyamapori wa nchini Zimbabwe na kuwasilishwa na Msemaji wake Tinashe Farawo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK