Grace Mugabe Atuhumiwa na Wizi wa Nyara za Serikali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Grace Mugabe Atuhumiwa na Wizi wa Nyara za Serikali
Uchunguzi umefanywa siku za hivi karibuni dhidi ya Mke wa Rais Mstaafu wa Zimbabwe, Grace Mugabe kutokana na tuhuma zinazomhusisha na biashara haramu nchni humo ya nyara za serikali.

Inaelezwa kuwa Grace amehusika katika biashara ya Pembe za Ndovu yenye thamani ya mamilioni ya dola za Kimarekani.

Anatuhumiwa kufanya biashara hiyo kipindi akiwa bado ‘First Lady’ wa nchi hiyo na kwamba alituma vipande vya nyara hizo kama zawadi kwa watu fulani wa hadhi ya juu huko Mashariki ya Kati na Asia.

Uchunguzi na taarifa hiyo imetolewa na Mamlaka ya Hifadhi za Wanyamapori wa nchini Zimbabwe na kuwasilishwa na Msemaji wake Tinashe Farawo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad