Inasikitisha Baba Amfanyia Ukatili Mwanaye Amzika Akiwa Hai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inasikitisha Baba Amfanyia Ukatili Mwanaye Amzika Akiwa Hai
Polisi nchini Kenya wameanza kufanya uchunguzi kuchunguza tukio la kifo cha mtoto wa umri wa miaka sita katika eneo la Suna nchini humo baada ya baba yake mzazi kumzika ardhini akiwa hai, hadi kupoteza maisha.

Inaelezwa kuwa usiku wa March 14, 2018 baba mtoto huyo anayejulikana kama Marcellus Odek alifika nyumbani hapo na kuchukua jembe kisha kuanza kuchimba shimo na baadaye kumchukua mtoto wake huyo na kuanza kumfukia.

Kwa mujibu wa Kiongozi Msaidizi wa eneo hilo Fredrick Owino, mwanaume huyo alifanya kitendo hicho kipindi ambacho hakukuwa na mtu yeyote nyumbani kasoro mke wake tu Annah Auma ambaye alimkuta amepoteza fahamu kutokana na ugonjwa wa kifafa ambao anao.

Owino amesema mwanaume huyo alipofika nyumbani alikuwa amelewa na hivyo alivyoyafanya kwa kiasi kikubwa yalishinikizwa na yeye kuwa amelala.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad