AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanasheria wa Zuma ameeleza kuwa Zuma alipewa jana taarifa rasmi ya kufika kwenye Mahakama Kuu ya mji wa Durban April 6, 2018. Taarifa hii pia imethibitishwa na kitengo cha upelelezi polisi.
Kesi hiyo inahusiana na jukumu lake katika mpango wa silaha za miaka ya 1990. Waendesha mashtaka mara ya kwanza walimshtaki Zuma kuhusu kesi hiyo mwaka 2005 kipindi akiwa Makamu wa Rais.
Lakini mashtaka haya yalifutwa wiki chache baada ya kuwa Rais wa nchi hiyo kwa madai kwamba, mashtaka hayo yalikuwa yana shinikizo la kisiasa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK