Jacob Zuma Amriwa Kufika Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jacob Zuma Amriwa Kufika Mahakamani
Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameamriwa kufika mahakamani wiki ijayo kukabiliana na mshtaka mbalimbali ya rushwa ambayo yana thamani ya mabilioni ya Dola za Marekani.

Mwanasheria wa Zuma ameeleza kuwa Zuma alipewa jana taarifa rasmi ya kufika kwenye Mahakama Kuu ya mji wa Durban April 6, 2018. Taarifa hii pia imethibitishwa na kitengo cha upelelezi polisi.

Kesi hiyo inahusiana na jukumu lake katika mpango wa silaha za miaka ya 1990. Waendesha mashtaka mara ya kwanza walimshtaki Zuma kuhusu kesi hiyo mwaka 2005 kipindi akiwa Makamu wa Rais.

Lakini mashtaka haya yalifutwa wiki chache baada ya kuwa Rais wa nchi hiyo kwa madai kwamba, mashtaka hayo yalikuwa yana shinikizo la kisiasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad