Je Wajua Kuna Wakati itakulazimu Kutoa Huduma/Kufanya Kazi Bila Malipo yoyote ?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuna wakati itakulazimu kutoa huduma/kufanya kazi bila MALIPO yoyote au kwa Malipo Kidogo Sana,sio kwa sababu unachofanya hakina thamani bali ni kwa sababu watu hawajaiona thamani bado.

Siku zote kumbuka uwezo/kipaji ulichonacho kina hatua kubwa tatu:

1.KUGUNDUA:
Kipaji/eneo lako:Hapa kazi kubwa ni kujitambua na kama haujajitambua hakuna atakayekutambua.

2.KUNOA UWEZO WAKO:
Hapa kazi kubwa uliyonayo ni kuongeza thamani na mara nyingi utakuwa unafanya mambo nyuma ya PAZIA.Mara nyingi watu watakuwa hawakuamini sana na it atakuja Ufanye mazoezi ya Muda mrefu kuongeza thamani YAKO.Kipindi hiki unatakiwa utafiti nafasi sio kwa sababu unataka KULIPWA bali kwa sababu unataka KUJINOA.

3.KUUZA UWEZO/KIPAJI CHAKO
Hapa ndio sasa unaanza kubadilisha huduma/ujuzi/Kipaji chako na Fedha ambazo watu wako tayari Kukulipa.

Unatakiwa uanze na wale ambao wameshakukubali na kukuamini.Hata kama una maono makubwa sana, uwe tayari kuanzia chini huku unaongeza thamani YAKO

UKO HATUA GANI?

See YouAt The Top

@JoelNanauka
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad