Jerry Muro Ampongeza Haji Manara Baada ya Sare na Al ya Misri "Hongera Swahiba si Haba"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jerry Muro Ampongeza Haji Manara Baada ya Sare na Al ya Misri "Hongera Swahiba si Haba"
Baada ya kuhudhuria katika mtangange wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Al Masry SC, Afisa Habari wa zamani wa Young Africans, Jerry Muro, amesema kuwa si vema ushabiki ukasababisha kuondoka kwa uzalendo.

Jerry ameamua kuwa mfano wa wadau wa Yanga waliojitoa kwenda kuipa hamasa Simba katika mchezo ambao timu hizo zimeenda sare ya mabao 2-2.

Na kupitia ukurasa wake wa Instagram, Muro aliandika haya kwa uchache

 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad