AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akistorisha na Za Motomoto News, Mafufu alisema kuwa, shughuli hiyo ya kutoa mahari na kumvisha pete ya uchumba Upendo itafanyika nyumbani kwa wazazi wa mwanadada huyo mkoani Mbeya na wanatarajia kufunga ndoa mwezi wa nane.
“Kwa sasa ninaanza maisha upya na mke wangu mtarajiwa, Upendo ambaye nimepewa na Mungu maana alinionesha maono juu yake, vitu vyote nilivyokuwa navyo zamani nimempa aliyekuwa mke wa awali ambaye ni mama mtoto wangu.
Kiukweli kwa sasa nina furaha sana maana licha ya awali kuwa kwenye ndoa, sikuwahi kufahia maisha ya uhusiano,” alisema Mafufu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK