Man Water Afunguka Kuhusu Alikiba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtayarishaji mkongwe wa muziki wa BongoFleva, Man Water amefunguka na kuwahakikishia mashabiki wa Alikiba kuwa kuna ngoma mpya imeshafanyika mpaka 'video' na muda wowote kutoka sasa inaweza kuachiwa ili kuvunja ukimya uliokuwepo kwa kipindi kirefu.


Man Water amebainisha hayo wakati alipokuwa anapiga stori na 'BIG CHAWA' kutoka katika kipindi cha Planet Bongo 'PB' ya East Africa Radio baada ya kuwepo na malalamiko mengi yanatoka kwa mashabiki wake waliokuwa wanadai wanataka kumsikia mfalme wao aking'uruma katika muziki.

"Kuna ngoma ambayo tumefanya na imeshafanyiwa video tayari kwa jinsi nilivyosikia, kwasababu Alikiba yupo South Afrika 'SA'. Pengine wimbo huo unaweza ukawa ndio unaofuata kwa sasa baada ya 'Seduce me", amesema Man Water.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad