AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wawili hawa wamekuwa wakionekana mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii lakini wanapotafutwa kuzungumzia hilo wamekuwa hawatoi ushirikiano wakutosha, sasa leo March 27, 2018 muigizaji huyo ameendelea kuweka video ikimuonesha waki-kiss na Brown kitu kilicho endelea kuwa Gumzo mtandaoni.
Nisha amepost video hiyo na kuandika ujumbe huu….>>>“kitu pekee tunachohitaji ni FURAHA ila mara nyingi tunaangukia kwny VILIO vya kujitakia. washauri wa mapenzi ni wengi ila unahisi unaweza kunishauri wa kuwa naye wkt tayari moyo wangu upo sehemu fulani.
“Ila kabla hujanihukumu mimi Nishabebe au Brown je USHAWAHI KUUMIZWA? hadi ukayachukia mapenzi na kutamani uwe #BACHELA miaka yote? kama jibu ni ndio USIHUKUMU kitabu kwa cover la nje. kama jibu ni HAPANA endelea kutupa madongo yanatukomaza kiakili. wacha nikwambie siri NASOMA COMMENT zote na yule BUBU BADO HAJAONGEA” – Nisha
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK