AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkali huyo wa Bongofleva akiongea na eNEWZ amesema taarifa hizo zilimkwamisha sana kwenye mipango yake mingi pamoja na mama yake kuumizwa nazo kiasi cha kumpigia simu na kumuuliza kama ni kweli.
''Kiukweli nimesikitika sana na sio mimi tu hata mama na familia yangu kwa ujumla, mama alikuwa akinipigia simu kila muda akitaka kujua kama ni kweli lakini tulizushiwa wengi akiwemo Alikiba japo ya kwangu ilivuma sana ila ni fununu tu haina ukweli'', amefunguka.
Msanii huyo pia ametoa ya moyoni kuhusu stori zilizopo kuwa anabifu na msanii Alikiba kitu ambacho amesema anashangaa kimetokea wapi kwasababu wao wako poa ila hajua fununu hizo zimetoka wapi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK