AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Mimi ninachoweza kusema bila ya kuficha, vijana na watoto wadogo ndio wanaopenda muziki sasa hivi, hivyo basi msanii atakapoimba kitu ambacho hakina maana, adabu wala mantiki atakuwa anampotosha mtoto. Maana vijana hao hao wanaosikiliza na kutazama muziki wetu wengine husema natamani kuwa kama msanii fulani bila ya kujua mtu huyo anaimba matusi matupu 'so' unategemea nini hapo", amesema Mr. Nice.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK