Musiba Awashambulia Viongozi wa Dini Wanaomshambulia Rais Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Musiba Awashambulia Viongozi wa Dini Wanaomshambulia Rais Magufuli
MWANASIASA aliyekuwa ACT Wazalendo na hivi karibuni kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Cyprian Musiba ameujibu baadhi ya viongozi wa dini akisema walikuwa wakijipatia pesa kupitia mafisadi na wengine walikuwa wanauza madawa ya kulevya.

Musiba amesema kutokana na jitihada za serikali kuwabana mafisadi na wauza unga waliokuwa wakiwapa pesa hizo, baadhi ya vioongozi hao wanaongea maneno ya hovyo kuhusu Rais Dkt. John Magufuli na kutoa matamko ambayo yamekosa tija.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad