AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni Mourinho alisema kuwa wanaomlaumu Sanchez kwa kutoonesha kiwango kikubwa tangu asajiliwe msimu huu hawatakiwi kufanya hivyo kwani bado ana muda zaidi na yeye kama kocha analijua hilo na atalifanyia kazi.
Kwa upande wa Mwana FA yeye amesema Sanchez hatakiwi kulaumiwa kwani uzuri wa mchezaji muda mwingine huonekana timu ikiwa inafanya vizuri hivyo uwezo wa Sanchez utajieleza tu timu ikianza kufanya vizuri, kwasababu anajulikana ni mchezaji wa kuamua matokeo.
Aidha Mwana FA ameongeza kuwa yeye anaamini katika kuwapa wachezaji muda na suala la Sanchez limekuwa kama ilivyokuwa kwa nyota mwingine Paul Pogba ambaye alionekana kutofanya vizuri katika msimu wake wa kwanza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK