Mzee Akilimali Aitaka Yanga Kufanya Uchaguzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzee Akilimali Aitaka Yanga Kufanya Uchaguzi
Mjumbe wa Baraza la Wazee wa Yanga, Ibrahim Akilimali, ameuomba uongozi wa timu hiyo kuitisha uchaguzi huku akisema hapingi mabadiliko.

Akizungumza na ripota wa Saleh Jembe, Mzee Akilimali amesema Yanga haina Mwenyekiti mpaka sasa, na badala yake ni vema ikaitisha uchaguzi ili mabadiliko yaende kasi.

Akilimali ambaye amekuwa akilipigia kelele suala kwa muda mrefu, anaamini pale Mwenyekiti atakapopatikana, mchakato wa mabadiliko utaenda vizuri.

Aidha, Akilimali ameeleza kuwa, Mwenyekiti wao wa zamani Yusuph Manji, tayari alishajiondoa hivyo ni vema akapewa muda apumzike na endapo akitaka arudi anakaribishwa.

Manji alijiudhulu nafasi ya Uenyekiti ndani ya Yanga baada ya kukumbukwa na mashtaka ya kesi ikiwemo la Uhujumi Uchumi mwaka 2017.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad