AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Davido kupitia ukurasa wake wa Snapchat amethibitisha hilo kwa kusema kuwa huwa anapenda sana kuangalia wanawake hususani maumbo yao lakini cha ajabu hajawahi kumsaliti Girlfriend wake.
“Sijawahi kuchepuka ila napenda kuangalia kila sketi (Mwanamke) inayopita mbele yangu, Mimi sio mwanaume msaliti napenda sana kufanya mapenzi na Chioma,“ameandika Davido kwenye ukurasa wake wa SnapChat.
Ijumaa ya wiki iliyopita mchumba wake na Davido, Chioma aliandamwa na skendo mitandaoni nchini Nigeria kuwa anamsaliti Davido.
Hata hivyo Davido siku hiyo hiyo ya Ijumaa baada ya kuzagaa kwa skendo za kusalitiwa na Chioma aliposti picha akiwa naye kitandani kuudhihirishia umma kuwa hajali maneno ya walimwengu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK