AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika waraka wa ujumbe wa pasaka, baraza hilo limeorodhesha mambo kadhaa ambayo wameyataja kuwa ndio tishio la umoja na amani ya nchi.
Mambo hayo kwa mujibu wa waraka huo ni Utekwaji wa watu ,utesaji, kupotea kwa watu, mauaji yenye mwelekeo wa kiitikadi, vitisho, ubambikiziaji wa kesi, na matumizi mabaya ya vyombo vya dola.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas, alipoulizwa msimamo wa serikali kuhusu waraka na matamko mbalimbali ya viongozi wa dini alijibu kuwa kwa sasa serikali haioni cha kujibu na kwamba inawatakia tu waumini kheri ya Pasaka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK