Shilole Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa Yake na Uchebe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki bongo ambaye kwa sasa mjasiriamali anayehakikisha matumbo ya watu yanapata afya, Shilole au Shishi Trump, hatimaye amefunguka kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na mume wake Uchebe.
Akizungumza na mwandishi wa habari, Shilole amesema hajaachana na mume wake na wala hawafikirii kuachana.
Kwa upande wa mume wake Shilole Bwana Uchebe amesema sio kweli kwamba ameachana na mkewe, na kwamba kuna wanafiki wanapenda wasikie wameachana.

Akifunguka kuhusu kupost kwa ua jeusi na caption yenye utata, Uchebe amesema kuna mtu alihack acount yake na kupost hivyo, lakini hawajaachana namkewe na wala sio kiki.

“Sio kweli sijaachana na mke wangu na wala hatufikirii kuachana, kuna watu wanafiki wanapenda kusikia tumeachana, kuhusu ile post kuna mtu alifanikiwa kuhack acount yangu na kupost vile lakini sijamuacha mke wangu, na wala hatuna ugomvi, na niwaambie tu kuwa hatuachani leo hata kiama”, amesema Uchebe.

Tetesi za wawili hao kuachana zimekuja baada ya kupostiwa kwa ua jeusi kwenye ukurasa wa instagram wa Uchebe na caption ambayo ilikuwa na utata, na watu kuhisi labda wawili hao hawako pamoja tena.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad