AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Clifford Mario, amesema kuwa ni kweli wamepokea barua hiyo, ila watakaa wajadili kama taasisi ili baadaye waweze kuja na majibu rasmi ya michuano hiyo kama itafanyika au kutofanyika.
Clifford ameeleza kuwa watahitaji kufikiria ombi hilo kulingana na hivi sasa ina ratiba ya mashindano ya soka la vijana kuelekea kufuzu AFCON chini ya miaka 20, hivyo watakuja na jibu rasmi baadaye.
CECAFA imetuma barua hiyo ikiiomba Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya Kombe la Kagame kwa ngazi ya klabu ambayo yanataraji kuanza mwezi Juni 2018.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK