AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ngorongoro Heroes inatarajia kucheza michezo miwili ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Morocco na Msumbuji, kabla ya kuwavaa DR Congo katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana (AFCON U20).
Kocha huyo ambaye amewahi kukaa kwenye benchi la ufundi la klabu ya Hull City ya nchini England, sio mara ya kwanza kufundisha timu ya taifa ambapo mara ya kwanza aliiongoza Kilimanjaro Stars kwenye michuano ya kombe la CECAFA japo haikufanya vizuri
Timu hiyo inaundwa na baadhi ya nyota waliofanya vizuri kwenye kikosi cha vijana wenye umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys kilichoshiriki fainali za AFCON U17 mwaka jana nchini Gabon.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK