Video: Viongozi Chadema Waungana Kula Pasaka Gerezani na Sugu, Mbowe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) wamejigawa wengine wataenda mkoani Mbeya kumtembela Sugu gerezani na wengine wataenda Segerea kumtembelea Mwenyekiti wao na viongozi wengine wa Chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mwenyekiti wa Baraza la vijana Chadema (BAVICHA)Taifa, Patric Sosopi amesema kuwa ni haki yao kuwatembelea viongozi hao gerezani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad