Kufuatia sakata la Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Abdul Nonda ambae pia kiongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania TSNP la kudaiwa kutekwa, leo Machi 17 Jebra Kambole ambae ni Wakili wa Mwanafunzi huyo amefunguka na kudai kuwa mpasa sasa hajaonana nae ili kujua kinachoendelea juu yake.
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini: