Video:Steve Nyerere “Wenye Akili Tupo Wachache, Wajinga Wengi Wanatuchafua”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Video:Steve Nyerere “Wenye Akili Tupo Wachache, Wajinga Wengi Wanatuchafua”
Baada ya Kusambaa Picha inayoonesha waigizaji wakiwa gerezani huku mlangoni kufuli  likiwa limeachwa na ufunguo ukiwa umebaki palepale kitu kilichozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii watu wakijadili Bongo Movie kuwa inazidi kupotea.

Steve Nyerere amesema kuwa hiyo ni kwa sababu wenye akili kama yeye wapo wachache kuliko wajinga walio wengi ambao wamekuwa wakichafua tasnia hiyo ila yeye anaamini kuwa ile ilikuwa behind the scene ila hajui aliyeisambaza ile alikuwa nani.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad