Watu 16 Wapoteza Maisha Baada ya Kupigwa na Radi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu 16 Wapoteza Maisha Baada ya Kupigwa na Radi
Watu 16 wamepoteza maisha nchini Rwanda baada ya kupigwa na radi wakiwa kanisani katika wilaya ya Nyaruguru iliyo Kusini mwa nchi hiyo.


Watu wote 140 waliokuwa katika kanisa hilo walipelekwa hospitali, lakini wengi waliruhusiwa kurudi nyumbani, isipokuwa watatu ambao bado wako katika hali mahututi.

Meya wa wilaya ya Nyaruguru Habitegeko Francois, amesema kuwa siku moja kabla, Radi nyingine ilikuwa imepiga kundi la wanafunzi 18 katika wilaya hiyo, na kuuwa mmoja wao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad