Watu 53 Wafariki Katika Mkasa wa Moto Jumba la Kemerovo, Urusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu 53 Wafariki Katika Mkasa wa Moto Jumba la Kemerovo, Urusi
Taarifa kutoka nchini Urusi ni kwamba moto umezuka katika jumba la kibishara na kusababisha watu 53 kufariki huku wengine 64 wakiwa hawajulikani walipo.

Taarifa zinaeleza kuwa baadhi ya maeneo katika jumba hilo ambalo linapatikana katika mji maarufu wa uchimbaji wa makaa ya mawe Kemerovi, Serbia, nchini humo, yako hatarini kuanguka kabisa.

Katika watu 64 ambao hawajulikani walipo, 41 kati yao inasemekana kuwa ni watoto

Inaelezwa kuwa idadi kubwa ya waliopoteza maisha walikuwa kwenye ukumbi wa sinema. Chanzo cha moto hakijajulikana lakini polisi wamekwisha anza uchunguzi wa chanzo hicho cha moto.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad