AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mabao ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Mhilu na Ajibu katika kipindi cha kwanza na Obrey Chirwa akihitimisha mabao matatu kipindi cha pili huku kwa upande wa Stand United likifungwa na Vitalis Mayanga.
Kwa matokeo hayo unaifanya Yanga SC kuwa na jumla ya alama 46 sawa na vinara Simba SC wakiwa na tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK