Bulaya, Mdee Watekeleza Sharti la Dhamana Waripoti Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bulaya, Mdee Watekeleza Sharti la Dhamana Waripoti Polisi
Mwenyekiti wa BAWACHA na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Ester Bulaya (MB) wamewasili katika Kituo cha Polisi Kati jijini Dar es salaam.

Hatua ya Wabunge hao kuwasili leo Ijumaa, April 13 ni moja ya sharti la dhamana mabapo waliambiwa waripoti.

Viongozi Sita wa CHADEMA akiwemo Halima Mdee waliachiwa huru April 3 baada ya kutimiza masharti ya dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad