AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Cannavaro amebainisha hayo baada ya kikosi chake kuwasili katika ardhi ya Tanzania na muda huo huo kikiunganisha kwenda jijini Mbeya kwa lengo la kujiweka sawa kuelekea mchezo wake wa kesho dhidi ya Mbeya City ikiwa ni muendelezo wa michuano ya ligi.
"Nawaheshimu Simba SC kwa kuwa ni timu ambayo nzuri nasi pia ni wazuri ila tu kwenye ligi lolote linawezekana. Nitaendelea kuwa-control vijana waendelee kupambana mpaka jasho la mwisho kwasababu bado tuna matumaini ya kuutetea ubingwa wetu. Najua bado itakuwa kazi ni ngumu ila hatujakata tamaa kwasababu kwenye mpira lolote linawezekana likatokea", amesema Cannavaro.
Mpaka dakika hii Simba bado wanaendelea kushikilia kilele msimamo wa ligi kuu kwa alama 58, Yanga akiwa nafasi ya pili kwa alama 47 huku Azam FC ikiwa ya tatu kwa alama 46.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK