AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Askofu Mkuu wa Jimbo hilo la Bungoma, Norman Kong’oo Wambua, marehemu alianguka majira ya saa 8 mchana katika kanisa la Mabanga ma dakika chache mbele akatangazwa kuwa ameshafariki.
Inaelezwa kuwa kiongozi huyo alikuwa na maradhi ya figo ambayo wanahisi ndio yaliyosababisha kifo chake cha ghafla. Mwili umekwisha hifadhiwa mortuary ukisubiri kufanyiwa uchunguzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK