Irene Poul Amwagia Sifa Zari " Hakuna Staa Mkubwa Bongo Kama Zari"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Irene Poul Amwagia Sifa Zari " Hakuna Staa Mkubwa Bongo Kama Zari"
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Irene Paul amewakata vilimi mastaa wa Bongo kwa kuwaambia kuwa hakuna staa mkubwa Bongo kama Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

Akizungumza na Amani hivi karibuni, Irene alisema mrembo huyo wa Uganda ni mfano wa kuigwa kwani anajua kutengeneza jina lake na ni mtafutaji wa kweli.

“Ni staa mkubwa, anajua kumaintain jina lake, simuoni staa wa kumshinda yeye Bongo,” alisema Irene.

Kauli hiyo iliungwa mkono na baadhi ya mashabiki waliomsikia muigizaji huyo alipokuwa kwenye utoaji wa tuzo za wasanii wa Kibongo ambazo ziliandaliwa na kituo cha Azam TV.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad