Irene Uwoya Aguswa na Kifo cha Agness Masogange, Aamua Kumuenzi kwa Njia Hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siku ya Ijumaa April 20,2018 Tanzania ilipokea taarifa za kifo cha video vixen maarufu nchini Marehemu Agnes Gerald Waya “Masogange” ambapo kila mtu alipokea taarifa hizo kwa style yake na wengine walizimia na vilio vilitanda kila sehemu kutokana na wengi kuwa karibu na Marehemu Agnes Masogange.

Muigizaji Irene Uwoya ni miongoni mwa watu waliokuwa karibu na Marehemu Agnes Masogange na kusikitishwa na taarifa hizo kutokana na ukaribu aliokua nao Irene na Marehemu Agnes na ameamua kumuenzi rafiki yake kipenzi kwa kuchora tattoo katika mkono wake na kuandika “R.I.P Agnes”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad