AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Show hiyo ambayo imeandaliwa na NRG Radio itafanyika April 28, 2018. Rick Ross anatarajiwa kupanda jukwaani na Khaligraph Jones na Nyashinski kutoka Kenya.
Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rick Ross kufanya show Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza alifanya show Tanzania mwaka 2012 katika tamasha la Fiesta.
Rick Ross anagonga vichwa vya habari tena Afrika Mashariki ikiwa ni miezi minne imepita tangu ashirikishwe na Diamond katika ngoma yake inayokwenda kwa jina la Waka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK