AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba SC imeanza mazoezi hayo kwaajili ya kujiwinda na mchezo wao dhidi ya Mbeya City utakao pigwa tarehe 12.04.2018.
Simba inaongoza kwenye msimamo wa ligi kwa kuwa na jumla ya pointi 52 dhidi ya 46 za Yanga SC anaeshika nafasi ya pili.
Klabu hiyo ya soka yenye maskani yake mitaa ya k/koo inapamba kufa na kupona ili kujihakikishia inafanikiwa kutwaa taji la ligi kuu soka Tanzania Bara ambalo wamelikosa kwa miaka mitano sasa huku likiwa linatetewa na mahasimu wao Yanga SC waliyochukua mara tatu mfululizo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK