Majambazi Wenye Silaha za Moto Wavamia Kituo cha Mafuta na Kuiba Fedha za Mauzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Majambazi Wenye Silaha za Moto Wavamia Kituo cha Mafuta na Kuiba Fedha za Mauzo
Leo April 16, 2018 stor ninayokusogezea ni kuhusu Majambazi wapatao wanne wakiwa wamevalia makoti meusi na silaha za Moto wamevamia kituo cha Mafuta cha Manjis cha jijini Arusha na kufanikiwa kupora kiasi cha Milioni 2 fedha za mauzo.

Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Yusufu Ilembo amesema kuwa   majambazi hao walifika eneo la tukio wakitembea kwa miguu na kuwalazimisha wafanyakazi waliokuwepo katika kituo hicho kulala chini huku wakifyatua risasi mbili hewani na kuelekea ndani ya ofisi zinapohifadhiwa fedha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad