Masiki Mama Kanumba Maisha Yazidi Kumchachia Aomba Msaada kwa Mzungu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Masiki Mama Kanumba Maisha Yazidi Kumchachia  Aomba Msaada kwa Mzungu
KUTOKANA na hali ngumu ya maisha hivi sasa, mama mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mahiri wa Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amemwangukia mwanadada mwenye asili ya kizungu aitwaye Mouna ili amsaidia kwenye shughuli ya kumbukumbu ya mwanaye inayofanyika kila Aprili 7.

Akizungumza na Over Ze Weekend, mama Kanumba aliweka wazi kuwa, amezunguka huku na kule, lakini hajapata msaada wowote hivyo anamuomba Mouna asimtupe kwenye hilo.

“Nimeona nimuombe tena Mouna kwa sababu alikuja Tanzania kuniona na kufika kaburini kwa Kanumba hivyo anaonekana wazi ana mapenzi kiasi gani na mimi na sasa ninamuona kama mwanangu,” alisema mama Kanumba.

Hivi karibuni, Mouna alitinga Bongo akitokea nchini Ujerumani na kufika kaburini kwa Kanumba kisha kwenda nyumbani kwa mama wa jamaa huyo, Kimara- Temboni jijini Dar na kuahidi kumchukua akapumzike kidogo kwenye nchi hiyo iliyo barani Ulaya.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad