AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Over Ze Weekend, mama Kanumba aliweka wazi kuwa, amezunguka huku na kule, lakini hajapata msaada wowote hivyo anamuomba Mouna asimtupe kwenye hilo.
“Nimeona nimuombe tena Mouna kwa sababu alikuja Tanzania kuniona na kufika kaburini kwa Kanumba hivyo anaonekana wazi ana mapenzi kiasi gani na mimi na sasa ninamuona kama mwanangu,” alisema mama Kanumba.
Hivi karibuni, Mouna alitinga Bongo akitokea nchini Ujerumani na kufika kaburini kwa Kanumba kisha kwenda nyumbani kwa mama wa jamaa huyo, Kimara- Temboni jijini Dar na kuahidi kumchukua akapumzike kidogo kwenye nchi hiyo iliyo barani Ulaya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK