Mrembo Hudah Monroe Anasa Katika Penzi na Mwarabu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANADADA mwenye jina kubwa kwenye mitandao ya kijamii, Hudah Monroe, ameweka wazi kwamba yupo kwenye uhusiano na mwanamume wa Kiarabu na anampenda sana.

Hudah aliweka wazi suala hilo baada ya kuandika kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram, kwamba angekuwa nje ya soko kama asingepata mpenzi na kurudi kwenye uhusiano.

“Ninashukuru nimepata mpenzi, ambaye tunapendana. Ni Mwarabu na kiukweli ningekuwa nje ya soko kama ningeendelea kuwa mpweke!” Alisema Huddah pia alipofanya mahojiano na mtandao mmoja wa habari za burudani Kenya.

SOMA PIA:  Job Opportunity at TJL Company Ltd, Accountant
 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad