Mtoto wa Masogange Awaliza Waombolezaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtoto wa Masogange Awaliza Waombolezaji
MZAZIi mwenzake na marehemu Agness Gerald ‘Masogange’ amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu uhusiano wake na marehemu, ambapo amesema mawasiliano ya mwisho na Agnes yalikuwa wiki iliyopita ambapo alimwambia kuwa hali yake ni Mbaya.

Mzazi huyo ambaye ni baba wa Sania amewashukuru Watanzania kwa kujitolea kumsomesha mtoto wao kwani wamemsaidia kumpunguzia majukumu.

Kwa upande mwingine, Sania amewaliza waombolezaji hasa wakati wa kuuzika mwili wa mama yake kipenzi ambapo alionekana mnyonge na mwenye huzuni hasa anapokumbuka mapenzi aliyokuwa akiyapata kutoka kwa mama yake enzi za uhai wake.

Masogange amezikwa leo katika Kijiji cha Utengule, Mbalizi Mkoani Mbeya, leo Aprili 23, 2018 ambapo mamia ya Watanzania wamejitokeza kumzika wakiwemo wasanii wenzake.
 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad