Nawaombea Msipate Machungu Haya Niliyopitia Mimi –Ndugai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nawaombea Msipate Machungu HayNiliyopitia –Ndugai

April 9, 2018 Spika wa Bunge Job Ndugai ameongoza kikao cha tano  cha bunge la kumi na moja baada ya kutoka kwenye matibabu nje ya nchi.

 “Nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunirudisha salama, Mwanadamu sio jiwe lazima apitie mapito. Nimerudi na sasa tupo pamoja. Baadhi yenu labda hamjawahi kulazwa hospitali mkiwa mnaumwa sana alafu unanakuwa kama upo peke yako kidogo na kuna dalili zinakuwa zinaonesha kama kesho inaweza isikuche hivi….! Ina raha yake na tabu yake kidogo, nawaombea msipate machungu haya” –Spika Job Ndugai
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad