AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
April 9, 2018 Spika wa Bunge Job Ndugai ameongoza kikao cha tano cha bunge la kumi na moja baada ya kutoka kwenye matibabu nje ya nchi.
“Nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunirudisha salama, Mwanadamu sio jiwe lazima apitie mapito. Nimerudi na sasa tupo pamoja. Baadhi yenu labda hamjawahi kulazwa hospitali mkiwa mnaumwa sana alafu unanakuwa kama upo peke yako kidogo na kuna dalili zinakuwa zinaonesha kama kesho inaweza isikuche hivi….! Ina raha yake na tabu yake kidogo, nawaombea msipate machungu haya” –Spika Job Ndugai
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK