Nuh Mziwanda Ampa Makavu Daimond " Wanawake ni Kama Mama Zetu Tunapaswa Kuwaheshimu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nuh Mziwanda Ampa Makavu Daimond " Wanawake ni Kama Mama Zetu Tunapaswa Kuwaheshimu"
Msanii wa muziki, Nuh Mziwanda amedai kitendo alichokifanya Diamond sio cha kiungwana kwani wanawake wote ni kama mama zetu hivyo tunapaswa kuwaheshimu.

Muimbaji huyo amesema hayo muda mchache baada ya rais huyo wa WCB kuachia video akishikana shikana na wanawake wawili tofauti.

Tayari Diamond ameshahojiwa na jeshi la polisi na wamedai watamchukulia hatua za kisheria muimbaji huyo wakimkuta na hatia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad