Penzi la Uchebe Lazidi Kumvuruga Shilole Aamua Kuchora Tattoo Yenye Jina la Uchebe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Penzi la Uchebe Lazidi Kumvuruga Shilole Aamua Kuchora Tattoo Yenye Jina la Uchebe
Staa wa muziki kutokea kwenye Bongo Fleva Zuwena Mohamed “Shilole” amezua gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuamua kupost picha kupitia instagram account yake na kuonyesha tattoo mpya aliyoichora kwenye mwili wake kwa kuandika jina la mume wake Uchebe.

Shilole amepost sehemu ya mwili wake alipochora tattoo hiyo yenye jina la Ashrafu ambalo ni jina halisi la mume wake ambaye wengi tunamfahamu kama Uchebe, Shilole amepost picha hiyo na kuandika >>>“Kwa mara ya kwanza na ya mwisho nimechora tatooooo ya jina la mume wangu Nampendaa sana”



Shilole aliwahi pia kuchora tattoo ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Nuh Mziwanda na baadae kuifuta na hii itakuwa tattoo yake ya pili kuichora lenye jina la mwanaume ambae ni mpenzi wake na kuionyesha hadharani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad