Polisi Wajaribu Kutumia Kidole cha Marehemu Kuchora ‘Password’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutoka Florida nchini Marekani, Jeshi la Polisi limeshukiwa na watu baada ya askari polisi wawili kuingia kwenye nyumba iliyokuwa na msiba na kushinikiza kufungua ‘unclock‘ simu ya marehemu.

Inaelezwa kuwa marehemu huyo Linus Phillip, 30, aliuawa pindi alipojaribu kuwatoroka polisi katika kituo cha mafuta eneo la Largo mnamo March 23, 2018.

‘Bila kujali Bifu zenu ila katika hili tuko Pamoja’ RC Makalla

Mpenzi wa marehemu Victoria Armstrong ameeleza kusikitishwa na kitendo hicho ambacho polisi wenyewe wamedai kuwa ni sehemu ya upelelezi wao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad