AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea baada ya mazishi Prof. Tibaijuka amesema baada ya kutoka Umoja wa mataifa na kuamua kuingia kwenye siasa, marehemu ndo alikuwa mwalimu wake amemuelekeza vitu vingi hivyo anaamini pengo lake si rahisi kuzibika.
Aidha amesema kuwa kwa awamu hii tayari amewapoteza madiwani watatu katika jimbo lake hali ambayo inampa wasiwasi katika utendaji na utekelezaji wa shughuli za maendeleo, huku akisema kuwa alianza Diwani wa kata Kimwani, akafuata diwani wa kata Buhangaza na sasa Diwani viti maalumu wilayani humo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK