Prof. Tibaijuka Amwaga Machzozi Hadharani Kisa Hiki Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Prof. Tibaijuka Amwaga Machzozi Hadharani Kisa Hiki Hapa
Mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Prof. Anna Tibaijuka amejikuta akimwaga machozi baada ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Diwani viti maalumu na Katibu wa umoja wa wazazi {UWT} wilaya Muleba, Paulina Francis ambaye ametumikia nafasi ya udiwani kwa zaidi ya miaka 27 mpaka mauti yanamkuta.

Akiongea baada ya mazishi Prof. Tibaijuka amesema baada ya kutoka Umoja wa mataifa na kuamua kuingia kwenye siasa, marehemu ndo alikuwa mwalimu wake amemuelekeza vitu vingi hivyo anaamini pengo lake si rahisi kuzibika.

Aidha amesema kuwa kwa awamu hii tayari amewapoteza madiwani watatu katika jimbo lake hali ambayo inampa wasiwasi katika utendaji na utekelezaji wa shughuli za maendeleo, huku akisema kuwa alianza Diwani wa kata Kimwani, akafuata diwani wa kata Buhangaza na sasa Diwani viti maalumu wilayani humo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad