AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Agizo hilo limetolewa Jijini Mwanza na mkurugenzi msaidizi wa uejeshaji mikopo wa bodi hiyo Fidelis Joseph ambapo amesema badhi ya waajiri hawajasilisha majina ya wafanyakazi wao kwenye bodi hiyo mpaka sasa.
Akiambatana na maafisa wa bodi hiyo Jijini Mwanza wametembelea Hospitali ya Uhuru Jijini humo na kukuta bado hawajawasilisha majina hayo kwenye bodi na kusema ni kosa la kisheria kukaidi amri na yoyote atakae jaribu kuzuia zoezi hilo kutekeleza katika shirika au kampuni yake basi hatua za kisheria zitafuata.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK