AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Kalemani ametoa agizo hilo wakati alipokuwa kwenye ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji wa umeme vijijini (REA), awamu ya tatu katika maeneo mbalimbali wilayani kyela na kusema wananchi wamekuwa wanaolipia huduma ya kuunganishiwa umeme wamekuwa wakipatia kero nyingi bila ya kupewa huduma hiyo.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, Hunter Mwakifuna ameishukuru Wizara ya Nishati kuwa kuwaelekeza wakandarasi wanaosambaza umeme vijijini kuwashirikisha viongozi wa maeneo husika, hatua ambayo imepunguza malalamiko kutoka kwa wananchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK