Tanzia: Mwili wa Masogange Kuagwa Kesho Leaders Club na Kusafirishwa Kijini Kwao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanzia: Mwili wa Masogange Kuagwa Kesho Leaders Club na Kusafirishwa Kijini Kwao
BAADA ya wadau wa sanaa kukaa na familia kujadili ratiba ya mazishi ya Agnes Gerald (Masogange), wameamua mwili wa marehemu utaagwa kesho (Jumapili) katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni, jijini Dar es Salaam ambapo pia patafanyika misaa maalum.

Shughuli hiyo itaanza saa tatu asubuhi hadi saa saba mchana.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, baada ya hapo mwili wa marehemu utasafirishwa kwenda Mbeya kwa ajili ya mazishi ambapo pia kutakuwa na mabasi maalum mawili kwa wale watakaopenda kumsindikiza marehemu mpaka Mbeya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad